January 13 siku ya fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi, michuano ambayo inaandaliwa na serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na ZFA, Mbwana Samatta atapewa nafasi ya kuonesha tuzo yake mbele ya wazanzibar, ambao bado wao hawakupata fursa ya kuiona tuzo hiyo toka ashinde.
Hii Ndio Heshima Aliyopewa Mbwana SAMATTA na Serikali ya Zanzibar
January 13 siku ya fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi, michuano ambayo inaandaliwa na serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na ZFA, Mbwana Samatta atapewa nafasi ya kuonesha tuzo yake mbele ya wazanzibar, ambao bado wao hawakupata fursa ya kuiona tuzo hiyo toka ashinde.
0 comments:
Post a Comment