Kim Kardashian.
New York, Marekani
BAADA ya kujifungua mtoto wa kiume jana (Jumamosi), mashabiki
 wa mwanamitindo na mtangazaji maarufu wa Kipindi cha Keeping Up With 
The Kardashian, Kim Kardashian wameibuka katika mitandao ya kijamii na 
kumtaka Kim kumuita mtoto huyo jina la Easton West.
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Kim Kardashian mashabiki hao walionesha
 hisia zao ambapo kila mmoja alipendekeza aitwe Easton West.
“Najua ataitwa tu Easton West.”
“Natamani kweli aitwe Easton West.”
“Najua ataitwa tu Easton West.”
“Natamani kweli aitwe Easton West.”
Zilisomeka baadhi ya meseji hizo kwenye ukurasa wa Twitter.
TAngu Kim ana ujauzito wa mtoto huyu aliyejifungua jana, hakuwahi kuweka wazi jina la mtoto hali inayoendelea kuzua sintofahamu kwa mashabiki wake baada ya mtoto wake wa kike wa kwanza kumuita North West.
TAngu Kim ana ujauzito wa mtoto huyu aliyejifungua jana, hakuwahi kuweka wazi jina la mtoto hali inayoendelea kuzua sintofahamu kwa mashabiki wake baada ya mtoto wake wa kike wa kwanza kumuita North West.
0 comments:
Post a Comment