Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, Faiza ambaye amedai ni mama kijacho, amesema ameamua kufanya filamu hiyo ili kupeleka ujumbe sahihi kwa jamii kuhusu malezi ya mtoto huyo.
“Kwahiyo mashabiki wakae mkao wa kula, mipango yote ipo tayari na leo hii naenda kuonana na director ili tuanze kushoot,” ameongeza.
0 comments:
Post a Comment