Mshambuliaji Jerry Tegete (mbele), kocha Pondamali (mwenye nguo za kijani) na wachezaji wengine wakiendelea na mazoezi.
Wachezaji wa timu ya Yanga SC wakiwa mazoezini leo asubuhi katika Fukwe za Coco Beach kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom na mashindano ya Kombe la Kagame chini ya Kocha wa Makipa Juma Pondamali.
0 comments:
Post a Comment