Showing posts with label KITAIFA. Show all posts
Showing posts with label KITAIFA. Show all posts

Askari wa Kike wa Usalama Barabarani na Mpenzi wake Waungua moto Hadi Kufa Kisa Hichi Hapa..

Askari wa kike wa Usalama Barabarani, Attuganile Mwakibete (37) na mpenzi wake Sunday Mhagama (36), wameteketea kwa moto baada ya nyumba...
Read More

Waziri MWIGULU NCHEMBA Afanya Ziara Ya Kushtukiza Saa Saba Usiku Machinjio Ya Ukonga Mazizi Na Kufukuza Viongozi Wote Wa Machinjio

Waziri wa Kilimo na Mifugo Mwigulu Nchemba amefanya ziara ya Kushtukiza saa saba usiku wa kuamikia leo katika Machinjio ya Ukonga Maziz...
Read More

Taswira ya Jengo la Ghorofa 16 Linalovunjwa Dar Baada ya Kukiuka Taratibu

Mafundi ujenzi wakiwa kazini kutekeleza uvunjaji wa jengo hilo lililopo mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar. KAZI ya kuvunja jengo la ghorof...
Read More

Bandarini Hapakaliki... TRA Yatangaza Kuwafilisi Wateja 24 Kwa Kutorosha Makontena

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeikabidhi Kampuni ya Udalali ya Yono kuwafilisi wateja 24 wanaodaiwa kodi ya Sh bilioni 18.95 baada ya...
Read More

Mwanamke wa Kikurya Apokonya Majambazi Matatu Bunduki Aina ya SMG

Mwanamke wa kitongoji cha Buriba, kata ya Sirari, wilayani Tarime, anayejishughulisha na biashara ya kuuza kibanda cha duka, Sophia Mang...
Read More

HUYU NDIYO JANGILI ANAYEDAIWA KUTUNGUA HELKOPTA HUKO SIMIYU,WATUHUMIWA 9 WAFIKISHWA MAHAKAMANI CHINI YA ULINZI MKALI WA POLISI,NI BALAA

Njile Gonga (28) Huyu ndiye Jangili anadaiwa kutungua helkopta katika pori la Akiba la Maswa lililopo katika Wilaya ya Meatu Mkoani, amb...
Read More