Kamera ya Global Publishers ilipopita maeneo iliwakuta wafanyakazi hao wakiwa nje ya kiwanda na kunasa baadhi ya picha zinazoonesha tukio hilo.
Mmoja wa wafanyakazi hao alipotakiwa kueleza kisa cha kuwa nje badala ya kuwa ndani wakichapa kazi alisema wametoka nje kugoma kushinikiza kupewa mikataba ya kudumu.
Mwandishi wetu alijaribu kwenda kwenye geti la kuingilia kiwandani ili aweze kuonana na uongozi ili uzungumzie sakata hilo akakuta limefungwa na hata alipojaribu kugonga, hakufunguliwa.
NA DENIS MTIMA/GPL
0 comments:
Post a Comment