Kutana na PICHAZ 15 za Mastaa Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na Wengine Walivyosherehekea Chrismass


Critiano Ronalldo katika picha ya pamoj akiwa na marafiki zake 
Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu kubwa sana duniani, hususani kwa bara la Ulaya shamrashamra za sikukuu hii zinakuwa kubwa sana tofauti na Afrika, Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyopost au kusherehekea sikukuu ya Chrismass na familia, watu wao wa karibu na hata na wapenzi wao. Miongoni mwa mastaa wanaosherehekea sikukuu hii ni Luis Suarez, Neymar, Cristiano Ronaldo, Beckham na familia yake. 

Staa wa FC Barcelona Neymar

Beckham na familia yake

David Beckham akiota moto akiwa na kofia ya Chrismass

Mkongwe wa zamani wa Juventus Andre Pirlo akiwa katika mti wa Chrismass

Mkali wa Chelsea Cesc Fabregas akiwa na familia yake
Mshambuliaji wa Man City Sergio Aguero akiwa na mtoto wake mbele ya mti wa Chrismass

Mcheza ji wa Liverpool Philippe Coutinho akiwa na mkewe na mtoto wake

Beki wa zamani wa Man United Rio Ferdinand akiwa katika mavazi ya father Chrismass

Nahodha wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard akiwa na zawadi za Chrismass

Luis Suarez akiwa na mkewe Sofia Balbi

Mchezaji wa Chelsea Willian akiwa na familia yake

Ivan Rakitic wa FC Barcelona akiwa na familia yake

James Rodriguez wa Real Madrid akiwa na mpenzi wake

Nyota wa Arsenal wakifurahia kwa pamoja

Wachezaji wa Arsenal Calum Chambers na Oxlade-Chamberlain wakiimba na kusherekea sikukuu ya Chrismass

Mchezaji wa Chelsea Oscar akisherehekea na familia yake
Share on Google Plus

About Anonymous

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment