Ikumbukwe kuwa kuna wakati Tanzania ilifikia kuwa kinara cha matukio ya ujangili kiasi cha Serikali ya Awamu ya Nne kuanzisha Operesheni Tokomeza ambayo nayo haikuisha vizuri.
Tunakutakia kila la heri katika majukumu yako mapya Meja Jenerali Gaudence Milanzi.

0 comments:
Post a Comment