Treni ya mizigo, iliyokuwa imebeba lita 200,000 za tindikali hatari ya Sulphuric Acid, usiku wa kuamkia leo Jumatatu imepata ajali nje kidogo ya Mji wa Julia Creek, Kaskazini Magharibi mwa Jimbo la Queensland nchini Australia na kuzua hali ya sintofahamu.
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika na shughuli za uokoaji zinaendelea ambapo wahudumu wawili waliokuwa ndani ya treni hiyo, wamejeruhiwa kwa tindikali na wanaendelea kupata matibabu.
0 comments:
Post a Comment