JEURI YA PESA: Wiz Kid Naye Aanika Saa Yake ya Diamond… Icheki Hapa!

Rolex-Wizkid
Lagos, Nigeria
MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Wiz Kid, leo ameionyesha saa yake ya almasi, kwenye mtandao wa Instragram.
Wizkid 
Wiz Kid
Picha ya saa hiyo aina ya Rolex ilikwenda sambamba na maneno “Frosted!!! @josephfrostoflondon!!” aliyoyaandika kwenye mtandao huo.
wiz (1)
Joseph Frost ni muuza vito mashuhuri jijini London, Uingereza, ambapo miongoni mwa wateja wake maarufu ni mcheza soka wa Togo Emmanuel Adebayor, na wanamasumbwi Amir Khan na David Haye.
wiz (2)Hivi majuzi mwanamnuziki huyo alifyatua ‘remix’ ya wimbo wake maarufu wa ‘Ojuelegba’ kwa kushirikiana na Skepta kwa mara ya kwanza jijini Lagos.
Share on Google Plus

About Anonymous

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment