Askari huyo ambaye alikuwa anahusika na ulinzi wa kutumia polisi na farasi alikutwa na wakazi wa eneo hilo akiwa amening’ing’inia juu ya mti huku sababu za kujitoa roho kwa hali ya kusikitisha zikiwa kitendawili.
“Mambo yanayohusiana na polisi hayapaswi kwenda kwenye vyombo vya habari,” alisema Liberatus Sabas.
Wakazi wa eneo hilo la makazi ya polisi walitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa marehemu kabla haujasafirishwa kwenda mkoani Singida kwa ajili ya mazishi.

0 comments:
Post a Comment