Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za muziki.
Licha ya kufanya muziki, Rose alisema kundi hili pia lina vijana wenye vipaji vya kuigiza na vingine.
0 comments:
Post a Comment