Imelda Mtema
MREMBO aliyejulikana kwa jina la Fatina Deus,
‘Fettylicious’ amesema amempa bure tiba ya kitambi staa wa filamu
Bongo, Aunt Ezekiel ili kumuondolea kero aliyokuwa akiipata.
Akipiga stori na gazeti hili, Fettylicious alisema miongoni mwa watu
waliokuwa wakisumbuka na tatizo la kuwa na kitambi ni Aunt lakini kwa
kuwa yeye lengo lake ni kuwasaidia mastaa wengi, amempa Aunt bure dawa
hiyo ili wengine wamtafute.
“Nimempa dawa ya asili kabisa ya kuondoa tumbo ambalo ni kero kwa
warembo wengi, Aunt atapona na ninawashauri na mastaa wengine wanione
ili waondokane na aibu ya kuwa na matumbo utadhani wajawazito,” alisema
Fettylicious.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment